LIVERPOOL, ARSENAL AU CITY? VITA YA KILELENI YACHUKUA KASI MAPEMA
Je safari hii nani anaweza kuongoza ligi, ambapo wakali wa ubashiri wameweka ODDS kubwa sana. Nani atapokea kijiti cha Liverpool ambao msimu uliopita ndio waliongoza ligi wakiwa na pointi zao 39? Liverpool kuongoza ligi amepewa ODDS 3.00. Ikumbukwe kuwa Jogoo wa Anfield hadi sasa amefanya usajili wa wachezaji wakubwa kabisa akiwemo Frimpong, Wirtz, Ekitike na…