KIUNGO YANGA SC KUIBUKIA SINGIDA BLACK STARS

INAELEZWA kuwa nyota wa zamani wa Yanga SC, Clatous Chama anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Singida, Singida Black Stars inayotumia Uwanja wa Liti. Chama aliwahi kucheza Simba SC kabla ya kuibukia ndani ya Yanga SC msimu wa 2024/25 akiwa mchezaji huru na hakuwa na nafasi kikosi cha kwanza kutokana na uwepo wa Aziz…

Read More

MERIDIANBET YAWAKUMBUKA WAFANYA USAFI KINONDONI KWA MSAADA WA VIFAA VYA KAZI

Kwenye Dunia ya leo ambapo maendeleo ya kiuchumi na kijamii yanachukua nafasi kubwa kwenye mijadala, kuna hitaji la dhati kwa taasisi na makampuni binafsi kuchangia kwa vitendo katika ustawi wa jamii. Hili ndilo limejidhihirisha baada ya kampuni ya Meridianbet kuchukua hatua ya kipekee ya kutoa msaada wa vifaa vya usafi kwa vikundi vya wasafishaji barabara…

Read More