MBIO ZA UBINGWA EPL 2025/26: NANI ATANYANYUA TAJI?
Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuanza mwezi ujao katikati huku tayari wakali wa ubashiri Meridianbet wakikuwekea timu zote na ODDS za kushinda ligi kuu. Lakini hizi ndio ambazo mojawapo ataondoka na taji hilo. Timu nyingi zinaendelea na usajili mkali huku Manchester United wao wanaenda mwendo wa polepole kwani licha ya kuishia nafasi ya 16 wamesajili wachezaji wanne…