MBIO ZA UBINGWA EPL 2025/26: NANI ATANYANYUA TAJI?

Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuanza mwezi ujao katikati huku tayari wakali wa ubashiri Meridianbet wakikuwekea timu zote na ODDS za kushinda ligi kuu. Lakini hizi ndio ambazo mojawapo ataondoka na taji hilo. Timu nyingi zinaendelea na usajili mkali huku Manchester United wao wanaenda mwendo wa polepole kwani licha ya kuishia nafasi ya 16 wamesajili wachezaji wanne…

Read More

KHADIM ATAJWA KUIBUKIA SIMBA SC NI BEKI WA MPIRA

WAKATI beki Mohamed Hussen Zimbwe Jr ambaye amedumu Msimbazi kwa miaka 11 akitajwa kuibukia ndani ya kikosi cha Yanga SC, inaelezwa kuwa kuna beki wa kazi anakuja kumalizana na Simba SC. Chini ya Fadlu Davids, msimu wa 2024/25, Zimbwe Jr alicheza mechi 27 za ligi na alifunga bao moja ilikuwa kwenye mchezo dhidi ya Coastal…

Read More

CHAN KUWAPA WACHEZAJI AZAM FC

AZAM FC matajiri wa Dar wamepanga kutumia michuano ya Kimataifa Afrika (Chan) kwa ajili ya kufanya usajili wa msimu ujao wa 2025/26. Ipo wazi kwamba CHAN mchezo wake wa ufunguzi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Agosti 2 kati ya Tanzania ambao ni wenyeji itakuwa dhidi ya Burkina Faso. Tayari Azam FC imekamilisha usajili wa kipa…

Read More

Slotopia, Mtoa Huduma Mpya Aliyeleta Mzuka Mpya Meridianbet

Meridianbet wamefanya yao tena. Kama ulikuwa ukidhani wameshatufurahisha vya kutosha kwa promosheni na michezo yao ya kuvutia, basi subiri kidogo, kuna jipya limeingia, na ni burudani isiyojulikana mpaka uijaribu mwenyewe. Mtoa huduma mpya wa michezo ya kasino mtandaoni, Slotopia, sasa amewasili rasmi kwenye jukwaa la Meridianbet na ameleta mzigo mzito wa michezo ya kisasa yenye kila aina ya…

Read More