PACOME KUONGEZA MKATABA YANGA SC

KIUNGO wa Yanga SC Pacome Zouzoua ambaye mkononi ana tuzo ya mchezaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na NBC msimu wa 2024/25 ndani ya Juni 2025 anatajwa kuwa atasalia ndani ya kikosi hicho kwa msimu ujao wa 2025/25. Pacome alikuwa kwenye mwendo bora ndani ya uwanja msimu uliopita akiwa ni chaguo la kwanza…

Read More