THANK YOU SIMBA SC ZIMEPITA KWA MIAMBA HAWA MAZIMA

THANK You ndani ya kikosi cha Simba SC zinaendelea ambapo kuna mastaa ambao wamekutana nazo na wengine walianza wao kutoa hivyo hawatakuwa ndani ya timu hiyo kwa msimu wa 2025/26. Ni Fabrince Ngoma kiungo wa kazi alikuwa wa kwanza kutoa Thank You ambapo alibainisha kuwa walifanya kazi kwa ushirikiano ndani ya kikosi hicho licha ya…

Read More

PACOME KUONGEZA MKATABA YANGA SC

KIUNGO wa Yanga SC Pacome Zouzoua ambaye mkononi ana tuzo ya mchezaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na NBC msimu wa 2024/25 ndani ya Juni 2025 anatajwa kuwa atasalia ndani ya kikosi hicho kwa msimu ujao wa 2025/25. Pacome alikuwa kwenye mwendo bora ndani ya uwanja msimu uliopita akiwa ni chaguo la kwanza…

Read More