
YANGA SC VS SIMBA SC NI MVUTANO MWANZO MWISHO
YANGA SC vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, kituo kinachofuata ni Kariakoo Dabi dhidi ya Simba SC Uwanja wa Benjamin Mkapa, Juni 25 2025 kwa wababe hao kukutana kusaka pointi tatu muhimu. Mchezo uliopita kwa Yanga SC, raundi ya 30 Juni 22 2025 ubao wa Uwanja wa New Amaan…