
YANGA SC YAPIGA MTU 9 KWENYE LIGI
YANGA SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi kwa msimu wa 2024/25 imempiga jumla ya mabao 9-0 mpinzani wake Tanzania Prisons kwenye mechi mbili za ligi katika msako wa pointi tatu. Yanga SC imekomba pointi sita mazima ikijikita kileleni ndani ya ligi ambayo inakaribia kugota mwisho Juni 25 2025. Juni 18 2025 kwenye mchezo wa…