HIZI HAPA MECHI ZA FUNGA KAZI JUNI 22

LIGI Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora inatarajiwa kugota mwisho Juni 22 kwa mechi za raundi ya 30 kupigwa kwenye viwanja 8 tofautitofauti. Mechi zote 8 zitaonyeshwa mubashara Azam TV kuanzia saa 10:00 ambapo mechi zote zonatarajiwa kuonyeshwa na JKT Tanzania watakuwa kwenye Sinema Zetu. Hii hapa ratiba ya Juni 22 2025…

Read More

YANGA SC YAPIGA MTU 9 KWENYE LIGI

YANGA SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi kwa msimu wa 2024/25 imempiga jumla ya mabao 9-0 mpinzani wake Tanzania Prisons kwenye mechi mbili za ligi katika msako wa pointi tatu. Yanga SC imekomba pointi sita mazima ikijikita kileleni ndani ya ligi ambayo inakaribia kugota mwisho Juni 25 2025. Juni 18 2025 kwenye mchezo wa…

Read More