Skip to content
June 19, 2025
  • ZIMEKUSANYWA 5 G TATU MZUNGUKO WA 29, 2024/25
  • FAINALI CRDB FEDERATION CUP KUPIGWA JUNI 29 2025
  • SOPU AMEWAKA, AZAM FC YAFUNGA 10 NDANI YA DAKIKA 180
  • JEAN AHOUA ANAONGOZA CHATI YA UFUNGAJI BONGO

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • June
  • 19

June 19, 2025

  • Sports

ZIMEKUSANYWA 5 G TATU MZUNGUKO WA 29, 2024/25

Saleh3 minutes ago2 minutes ago03 mins

Baada ya dakika 90 kukamilika mzunguko wa 29 jumla yamefungwa mabao 22 kutoka katika viwanja 8 tofautitofauti msimu wa 2024/25 kwenye msako wa pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Kutoka viwanja 8 ni Uwanja wa Majaliwa pekee dakika 90 ziligota mwisho bila kupatikana kwa bao kwa timu zote mbili ambapo ubao ulisoma Namungo FC…

Read More
  • Sports

FAINALI CRDB FEDERATION CUP KUPIGWA JUNI 29 2025

Saleh14 minutes ago02 mins

MCHEZO wa fainali ya CRDB Federation Cup kati ya Yanga SC vs Singida Black Stars umepelekwa mbele mpaka Juni 29 2025, Uwanja wa New Amaan saa 2:15 usiku. Awali mchezo huo ulitarajiwa kuchezwa Juni 28 2025, mabadiliko hayo yametokana na uwepo wa mchezo wa Kariakoo Dabi kati ya Yanga SC vs Simba SC. Mchezo wa…

Read More
  • Sports

SOPU AMEWAKA, AZAM FC YAFUNGA 10 NDANI YA DAKIKA 180

Saleh32 minutes ago31 minutes ago03 mins

ABDUL Sopu nyota wa Azam FC anayevaa uzi namba 9 utambulisho wake akiwa uwanjani amezidi kurejea katika ubora katika mechi za mzunguko wa pili baada ya kuwa nje kwa muda katika mzunguko wa kwanza. Wakati Azam FC ikivuna pointi tatu mbele ya Tabora United Juni 18 2025, ubao wa Uwanja wa Azam Complex uliposoma Azam…

Read More
  • Sports

JEAN AHOUA ANAONGOZA CHATI YA UFUNGAJI BONGO

Saleh2 hours ago1 hour ago03 mins

KWENYE eneo la kuitafuta tuzo ya ufungaji bora kazi inazidi kupamba moto ndani ya ligi ambapo wachezaji wamekuwa wakifanya kazi kubwa kutimiza majukumu yao wakipambania kusepa na pointi tatu. Katika eneo la utupiaji mabao ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ni Jean Ahoua wa Simba SC ambaye ametupia jumla ya mabao 16 msimu wa 2024/25…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2025. Powered By BlazeThemes.