
ZIMEKUSANYWA 5 G TATU MZUNGUKO WA 29, 2024/25
Baada ya dakika 90 kukamilika mzunguko wa 29 jumla yamefungwa mabao 22 kutoka katika viwanja 8 tofautitofauti msimu wa 2024/25 kwenye msako wa pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Kutoka viwanja 8 ni Uwanja wa Majaliwa pekee dakika 90 ziligota mwisho bila kupatikana kwa bao kwa timu zote mbili ambapo ubao ulisoma Namungo FC…