
FEISAL NGOMA NZITO KUSEPA AZAM FC
NGOMA ni nzito kwa kiungo mshambuliaji Feisal Salum kusepa ndani ya Azam FC kupata changamoto sehemu nyingine mpya kutokana na mabosi wa timu hiyo kuongeza dau upande wa mshahara. Fei amekuwa akitajwa kuwa kwenye rada za Simba SC na Yanga SC ambazo zinapigana vikumbo kusaka saini yake. Ipo wazi kwamba Fei ni namba moja kwa…