CHAMA AANDALIWA KUIKABILI TANZANIA PRISONS

Clatous Chama kiungo mshambuliaji wa Yanga SC anaandaliwa na benchi la ufundi kwa ajili ya kuwakabili wapinzani wao Tanzania Prisons. Yanga SC iliyo nafasi ya kwanza kwenye msimamo na pointi 73 inatarajiwa kukutana na Tanzania Prisons iliyo nafasi ya 13 na pointi 30 Juni 18 Uwanja wa Sokoine. Kwenye mazoezi ambayo yanafanyika Chama amekuwa akipewa…

Read More

FEISAL NGOMA NZITO KUSEPA AZAM FC

NGOMA ni nzito kwa kiungo mshambuliaji Feisal Salum kusepa ndani ya Azam FC kupata changamoto sehemu nyingine mpya kutokana na mabosi wa timu hiyo kuongeza dau upande wa mshahara. Fei amekuwa akitajwa kuwa kwenye rada za Simba SC na Yanga SC ambazo zinapigana vikumbo kusaka saini yake. Ipo wazi kwamba Fei ni namba moja kwa…

Read More