
FADLU APIGA HESABU KALI UBINGWA LIGI KUU BARA
KOCHA Mkuu wa Simba raia wa Afrika Kusini, Fadlu Davis amesema kamwe hawatakubali kufungwa mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga utakaopigwa Juni 15, mwaka huu. Fadlu alisema kuwa mchezo huo ndiyo utahamua hatima ya wao kubeba Ubingwa wa Ligi Kuu Bara, hivyo hawatakubali kufanywa daraja la ubingwa katika msimu huu. “Tunakwenda mapumziko tukipisha kalenda…