
TOTTENHAM WATWAA TAJI LA EUROPA LEAGUE MBELE YA MANCHESTER UNITED
TOTTENHAM chini ya Kocha Mkuu,Gregg Popovich wametwaa taji la Europa League kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Manchester United kwa bao pekee la Brennan Johnson dakika ya 42 ndani ya Uwanja wa San Mames na timu hiyo itacheza Champions League. Katika mchezo huo wa fainali, rekodi zinaonyesha kuwa shuti ambalo walipiga Spurs lango la…