VIDEO: JEMEDARI AFUNGUKIA ISHU YA CAS YANGA/ TIMU ZINAZOPENDELEWA
MCHAMBUZI wa michezo Bongo Jemedari amefungukia kuhusu ishu ya CAS Yanga SC na madai kuhusu kupendelewa kwa timu.
MCHAMBUZI wa michezo Bongo Jemedari amefungukia kuhusu ishu ya CAS Yanga SC na madai kuhusu kupendelewa kwa timu.
UONGOZI wa Simba SC umeweka wazi kuwa upo tayari kwa mchezo wa Kariakoo Dabi ambao unatarajiwa kuchezwa Juni 15 2025. Awali mchezo huo ulipangwa kuchezwa Machi 8 2025 ukayeyuka baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TBLB) kubainisha kuwa mchezo huo namba 184 umeahirishwa na utapagiwa tarehe nyingine. Yanga SC ilibainisha kuwa mchezo huo…
DICKSON Job beki chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miloud Hamdi anatajwa kuwa ameitwa mezani ili kujadili suala la kuongeza mkataba wake mpya. Beki huyo amekuwa kwenye ubora wake kwenye mechi ambazo anacheza jambo ambalo linaongeza thamani yake kuzidi kupanda. Taarifa zinaeleza kuwa mara baada ya Muungano Cup 2025 kugota mwisho na Yanga SC kutwaa…
FABRINCE Ngoma kiungo mshambuliaji wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids amesema kuwa siri ya kufunga bao la ushindi dhidi ya JKT Tanzania ni kutimiza majukumu ya timu kwenye msako wa pointi tatu. Mei 2 2025 Simba ilikuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Mashujaa FC ambapo walipata ushindi wa mabao 2-1 na…
Mchezo namba 184 (YANGA SC V s SIMBA SC) ulioghairishwa kuchezwa tarehe 8 Machi, 2025 sasa utachezwa tarehe Juni 15, 2025 siku ya Jumapili saa 11:00 jioni kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa.
Hatimaye ile siku ikafika ya ndoto kutimia kwa kijana Mathew Ngomba kutoka mitaa ya Tabata Shule ambaye aliweza kujivutia mkwanja wa maana yaani Milioni Hamsini na saba na elfu tisini na tisa na mia tatu themanini na tatu pointi tano nne (57,099,383.54). Kijana huyu Mjasiriamali alitumia shilingi 30000 pekee kama dau lake kwenye mechi 13…