
KIKOSI CHA SIMBA HATUA YA NUSU FAINALI CAF
HIKI hapa kikosi cha Simba kitakachoanza mchezo dhidi ya Stellenbosch FC ya Afrika Kusini mchezo wa hatua ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa ni nusu fainali ya kwanza. Kikosi cha kwanza langoni yupo Moussa Camara, wengine eneo la ulinzi ni Chamou, Hamza Jr, Mohamed Hussen, Shomari Kapombe, kwa viungo ni Fabrice Ngoma. Jean…