AZAM FC YAIPIGIA HESABU GEITA GOLD

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wanapiga hesabu kuvuna pointi tatu ugenini dhidi ya Ken Gold mchezo unaotarajiwa kuchezwa Aprili 3 2025 Uwanja wa Sokoine ikiwa ni mzunguko wa pili. Baada ya mechi 23 ambazo ni dakika 2,070 Azam FC imekusanya jumla ya pointi 48 ikiwa nafasi ya tatu kwenye msimamo, safu ya ushambuliaji imetupia mabao…

Read More

HAPA NDIPO DENI LILIPO KWA BEKI WA KAZI YANGA

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Ibrahim Bacca deni lake la mabao kwa sasa ni 11 ili kufanikisha malengo aliyokuwa nayo msimu wa 2024/25. Beki huyo mwanzo wa msimu baada ya kufungua akaunti yake ya mabao kwenye mchezo dhidi ya Ken Gold uliochezwa Uwanja wa Sokoine alibainisha…

Read More