SIMBA KAMILI KUWAKABILI WAARABU/ ORODHA HII HAPA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wapo tayari kwa mchezo wao dhidi ya Al Masry na wameanza na mazoezi muda mfupi baada ya kufika Misri ili kuwa imara kwenye dakika 90 za ushindani. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa wanatambua ushindani ni mkubwa jambo ambalo linawafanya wafanye maandalizi…

Read More

WANAWAKE WA MAGOMENI WAPEWA MSAADA NA MERIDIANBET

Siku ya leo Meridianbet iliamua kufunga safari na kuwatembelea wanawake wajane wanaopatikana mtaa wa Magomeni na kutoa msaada wa vyakula. Jumamosi ya leo katika jitihada za kusaidia jamii na kuunga mkono familia ambazo zimeondokewa na wapendwa wao hasa wanawake wajane, Meridianbet iliamua kufunga safari hadi Magomeni kwaajili ya kutoa msaada wa vyakula kwa wanawake hao….

Read More