MKANDAJI KIBU D APATA KITETE ISHU YA KARIAKOO DABI

KIBU Dennis kiungo wa Simba maarufu kwa jina la Kibu Mkandaji amepata kigugumizi kuhusu mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Machi 8 2025. Mkandaji lilipata umaarufu baada ya kufunga kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi uliochezwa Uwanja wa Mkapa alipomtungua Djigui Diarra kwa shuti kali akiwa nje ya 18 ….

Read More