KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA PAMBA JIJI

HIKI hapa kikosi cha Yanga dhidi ya Pamba, Uwanja wa CCM Kirumba ambapo ingizo jipya ndani ya kikosi hicho kwenye dirisha dogo limeanzia benchi na walioanza kikosi cha kwanza ni Djigui Diarra, Israel Mwenda, Boka, Nondo. Ibrahim Bacca, Khalid Aucho, Duke Abuya, Mudathir Yahya washambuliaji wawili Prince Dube na Clement Mzize kiungo Maxi ameanza kikosi…

Read More

WATATU SIMBA OUT, MTIKISIKO MKUBWA

NYOTA watatu wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids watakosekana kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Coastal Union unaotarajiwa kuchezwa  Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Machi Mosi 2025 ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili. Kwenye msimamo Simba ni namba mbili baada ya mechi 20 imekusanya pointi 51 itakuwa na kibarua cha…

Read More

BALAA LA FEI NI ZITO KINOMANOMA

BALAA la kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ndani ya ligi namba nne kwa ubora ni nzito kinomanoma kutokana na mwendelezo wake kuwa imara katika upande wa pasi za mwisho msimu wa 2024/25. Timu hiyo kwenye msimamo ipo nafasi ya tatu baada ya kucheza mechi 22 ikiwa imekusanya jumla ya pointi 45 na safu ya…

Read More

SIMBA YAWAFUATA COASTAL UNION KAMILI

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kimekwea pipa kuelekea Arusha kwa maandalizi ya mwisho kuikabili Coastal Union wakiwa kamili gado kuelekea mchezo huo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ipo wazi kwamba mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 2-2 Coastal wakigawana pointi…

Read More

AZAM FC WABANWA MBAVU AZAM COMPLEX

WAUAJI wa Kusini, Namungo wamesepa na pointi moja Azam Complex ubao uliposoma Azam FC 1-1 Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliokuwa na ushindani mkubwa mwanzo mwisho katika kuvuja jasho dakika 90. Bao la mapema kwa Namungo lilifungwa na Hamis Halifa dakika ya 12 akiwa nje ya 18 akitumia pasi kutoka kwe Legend,…

Read More