HUYU HAPA ALIHUSIKA KUWANYIMA USHINDI SIMBA MZIZIMA

PASCAL Msindo kwa asilimia 80 aliwanyima ushindi Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Bara Februari 24 2025 kwenye Mzizima Dabi kutokana na kutimiza majukumu yake kwa umakini asilimia 100. Utulivu kwenye miguu yake ulikuwa ukiwavuruga mabeki wote wa Simba ambao ni watengeneza mipango namba moja kwa kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Alikuwa…

Read More