HII HAPA RATIBA YA LIGI NAMBA NNE KWA UBORA

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Yanga watakuwa kazini kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya Singida Black Stars, Uwanja wa KMC Complex kwenye msako wa pointi tatu.

Timu zote mbili zimeweka wazi kwamba hesabu kubwa ni kupata pointi tatu, ukiweka kando mchezo huo kuna mchezo mwingine utakaowakutanisha wababe wawili kwenye msako wa pointi tatu itakuwa ni:-

Fountain Gate v Tabora United, Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Manyara hizi mbili zitapigwa Februari 17 2025.

FEBRUARI 18 2025

Ken Gold v Kagera Sugar, Uwanja wa Sokoine, Mbeya

KMC v JKT Tanzania, Uwanja wa KMC, Complex, Dar

Dodoma Jiji v Tanzania Prisons, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma

FEBRUARI 19 2025

Mashujaa v Pamba, Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma

Namungo v Simba, Uwanja wa Majaliwa, Lindi.

Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo, kukipata TUNAOMBA ODA 0756 028 371. Ni simulizi inayozungumzia maisha ya Kiafrika, usaliti, visa, furaha. Wakazi wa Njombe kitabu kinapatikana Mtaa wa Mpechi kwa Chris Jabari, Kigamboni kwa Tupokigwe, Posta karibu na Mnara wa Askari ukiwa unaelekea chuo cha IFM.