KIKOSI CHA DODOMA JIJI CHAPATA AJALI

KIKOSI cha Dodoma Jiji kimepata ajali ya basi wakati wakirejea Dar kutoka Ruangwa walipomaliza mchezo wa ligi dhidi ya Namungo FC waliotoshana nguvu kwa kufungana mabao 2-2. Kwenye mchezo huo Dodoma Jiji waligawana pointi mojamoja ugenini katika mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa huku mlinda mlango Ngelekea Katembua akichaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo. Taarifa zimeeleza…

Read More