SIMBA YAMALIZANA NA WONDERS KWA MTINDO HUU

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kimemalizana na wapinzani wao Kilimanjaro Wonders kwa maajabu ya mtoto wa maajabu Chasambi kupachika bao huku David Kameta akitoa pasi mbili za mabao kwenye ushindi wa mabao 6-0 katika mchezo wa CRDB Federation Cup. Simba walianza kupata bao la mapema kwenye mchezo wa leo ikiwa ni…

Read More

MUTALE, DUCHU, MZAMIRU WAANZA KIKOSI CHA KWANZA

KIUNGO wa kazi ngumu ndani ya kikosi cha Simba, Mzamiru Yassin ameanza kikosi cha kwanza dhidi ya Kilimanjaro Wonders ikiwa ni mchezo wa CRDB Federation Cup. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi, Yanga walishuka uwanjani Januari 25 2025 na kupata ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Copco huku nyota Israel Mwenda ingizo jipya likianza kikosi cha kwanza…

Read More