ZIMBWE ANAANGUKA NA KUINUKA, SOMO TOSHA

LEGEND kwenye uandishi wa Habari za Michezo Bongo Saleh Ally, maarufu kama Jembe ameweka wazi kuwa beki Mohamed Hussen Zimbwe Jr ni kipimo cha shida na raha kwenye soka kwa kuwa amekuwa akianguka na kuinuka kwenye upambanaji. Ipo wazi kwamba Zimbwe ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids na amekuwa akifanya…

Read More

UTAMU WA MERIDIANBET UPO IJUMAA YA LEO

Mechi nyingi za kupiga maokoto zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Ufaransa LIGUE 1 nayo kitawaka ambapo AJ Auxerre atamenyana dhidi ya AS Saint-Etienne ambao walitoa sare huku mwenyeji yeye akipoteza mechi yake iliyopita, hivyo…

Read More

NYOTA HAWA WAWILI SIMBA BALAA LAO LIPO NAMNA HII

MASTAA wawili ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids ni balaa zito kwenye mapigo ya penalty kwa kuwa wakishika mpira tu lazima wafunge ikiwa watapewa jukumu la kazi hiyo. Ikumbukwe kwamba kupiga penati kunahitaji umakini mkubwa kutokana na asilimia kubwa wengi kuhesabu kuwa ni bao lakini wapo mafundi wakubwa ambao hukosa…

Read More

YANGA WANABALAA HAO MWENDO WAO GUSA ACHIA

KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Sead Ramovic kwenye gusa achia twende kwao balaa zito wakiituliza Simba mazima kwenye kasi ya utupiaji wa mabao ndani ya ligi namba nne kwa ubora. Ikumbukwe kwamba Desemba 2024 ni Clement Mzize ambaye ni mshambuliaji alichaguliwa kuwa mchezaji bora na Sead alitangazwa kuwa kocha bora kutokana na ushindi…

Read More