>

MTIBWA SUGAR WAIVURUGIA SINGIDA FOUNTAIN GATE

MTIBWA Sugar wamesepa na point8 tatu mazima dhidi ya Singida Fountain Gate, ubao wa Uwanja wa CCM Kirumba ulisoma Singida Fountain Gate 0-2 Mtibwa Sugar. Ushindi wa Mtibwa Sugar umevuruga mipango ya Singida Fountain Gate kukomba pointi tatu kwenye mchezo huo. Abdul Hilary dakika ya 70 kwa mkwaju wa penàlti na Omary Marungu dakika ya…

Read More

MILIONI TANO YAPATA MWENYEWE MERIDIANBET

Bashiri na kitochi au bashiri bila bando na Meridianbet ikifahamika kama USSD leo imefanikiwa kutoa mshindi ambaye amejishindia mzigo wa kutosha ambapo mshindi amejipigia kiasi cha shilingi 5,982,539.  Inafahamika kua Meridianbet inatoa fursa kwa wateja wake kubashiri kwa bando kwa maana ya kwenye tovuti yao lakini pia unaweza kubashiri bila bando na ndio USSD ambapo…

Read More

YANGA NDANI YA JIJI LA DAR

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga a kimataifa Yanga wapo ndani ya ardhi ya Tanzania kwa ajili ya maandalizi ya mechi zao zinazofuata kimataifa na kitaifa. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi imetinga hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa na pointi 8 kibindoni. Mchezo wao wa mwisho hatua ya makundi ilipoteza pointi…

Read More

KIPA WA PENALTI AREJEA SIMBA

KIPA mwenye rekodi ya kuokoa penalti kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Ayoub Lakred hatua ya makundi ndani ya kikosi cha Simba amerejea kazini baada ya adhabu yake kukata hivyo kuna uwezekano wapinzani wao Jwaneng Galaxy wakakutana naye. Ipo wazi kwamba kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca ugenini aliokoa penalti dakika…

Read More

MOST WANTED KASINO| MISTARI 50 YA MALIPO..

Tunakuletea mchezo mpya wa kasino Mtandaoni unaoendelea katika Magharibi ya Kusini. Na katika mchezo huu, msako umetangazwa, lakini si kwa vichwa vilivyotekwa, bali kwa bonasi za kasino zenye kuvutia. Ni juu yako tu kujiunga kutafuta ushindi. “Most Wanted” ni mchezo wa kasino mtandaoni kutoka kwa Amigo. Katika mchezo huu, utapata bonasi kubwa. Kuna malipo ya…

Read More

AZAM FC WANA JAMBO LAO

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Yusuph Dabo amesema kuwa wanatambua ushindani ni mkubwa watazidi kupambana kwa kuwa wana jambo lao kila mchezouliopo mbele yao wakihitaji kufanya vizuri. Azam FC kwenye mechi mbili mfululizo iliambulia sare ilikuwa dhidi ya Tabora United na Tanzania Prisons. “Tupo imara kwenye mechi ambazo tunacheza na malengo yetu ni kuona kwamba…

Read More

SIMBA WAPIGA HESABU HIZI KIMATAIFA

KUELEKEA mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliopewa jina la Vita ya Kisasi huku mgeni rasmi akiwa ni beki Henoc Inonga benchi la ufundi limebainisha kuwa linahitaji ushindi. Abdelahak Benchikha, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wanachohitaji kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy, Uwanja wa Mkapa ni ushindi. Kikosi cha…

Read More

AL AHLY DHIDI YA YANGA NI USIKU WA KISASI

Ligi ya mabingwa barani Afrika itaendelea leo ambapo ichezo kadhaa itapigwa katika viwanja viwili tofauti ambapo mchezo mmoja utapigwa nchini Misri, Huku mwingine ukipigwa pale nchini Algeria. Vilabu vinne ambavyo ni Yanga, Al Ahly, Medeama Fc, na CFR Belouzdad ndio vitaingia dimbani leo kukipiga katika kundi D, Huku mabingwa wa kubashiri Meridianbet wamemwaga ODDS KUBWA…

Read More

KIGOGO SIMBA AWAJAZA UPEPO CHAMA, FRED, AL AHLY V YANGA

MSIMU MPYA MAMBO MAPYA! Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako ewe msomaji ambapo kwa kununua GAZETI LA CHAMPIONI, utapata fursa ya kuzawadiwa jezi mpya za Simba na Yanga za msimu wa 2023/2024, pindi ununuapo gazeti letu kupitia Global App. Soma Gazeti…

Read More