IHEFU WAPO KAMILI GADO
KUTOKA Mbeya ulipo Uwanja wa Sokoine kwa majirani zao Mbeya City na Tanzania Prisons amba hutumia kwa mechi za nyumbani wao wapo Mbarali ambapo hutumia Uwanja wa Highland Estate kwa mechi za nyumbani. Hawa ni Ihefu wapo kamili gado kuelekea mechi zijazo za ushindani ili kupata matokeo mazuri kutokana na kutokuwa na mwendo mzuri kabla…