SIMBA IMEPOTEZWA HAPA NA YANGA

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Simba wamepotezwa na Yanga kwenye upande wa mabao ya kufunga ambapo wameachwa kwa bao moja tu baada ya wote kucheza mechi 15. Katika mechi tano za Sead Ramovic kwenye ligi ni mabao 18 Yanga imefunga huku ikiandika rekodi ya kuwa timu ya kwanza kupata ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya…

Read More