Desemba ya Mwisho Hii Chukua Mzigo Wako

Jumatatu ndio hiyo imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Tukianza na ligi kuu ya Uingereza EPL leo hii mechi nyingine za pesa kupigwa Ipswich atakipiga dhidi ya Chelsea ya Enzo Maresca ambao mechi mbili zilizopita…

Read More

HAWA HAPA NI NAMBA MOJA KWENYE LIGI BORA AFRIKA

KWENYE ligi namba sita kwa ubora Afrika, kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ni namba moja kwa pasi za mwisho akiwa nazo 9 na katupia mabao manne. Ipo wazi kuwa Azam FC wnatumia Uwanja wa Azam Complex kwenye mechi za nyumbani wamekuwa kwenye ubora wao katika mechi za hivi karibuni na walipokamilisha mechi 15 walikuwa…

Read More

SIMBA IMEPOTEZWA HAPA NA YANGA

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Simba wamepotezwa na Yanga kwenye upande wa mabao ya kufunga ambapo wameachwa kwa bao moja tu baada ya wote kucheza mechi 15. Katika mechi tano za Sead Ramovic kwenye ligi ni mabao 18 Yanga imefunga huku ikiandika rekodi ya kuwa timu ya kwanza kupata ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya…

Read More