YANGA SIO KINYONGE KUIKABILI FOUNTAIN GATE

KOCHA Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic amesema kuwa matokeo waliyopata nyuma hawatayaangalia badala yake watapambana kupata pointi tatu mbele ya Fountain Gate. Yanga Desemba 29 2024 inatarajiwa kucheza mchezo wa ligi dhidi ya Fountain Gate, Uwanja wa KMC na mchezouliopita walishinda ugenini Dodoma Jiji 0-4 Yanga. Ni pointi 36 Yanga imekusanya baada ya mechi 14…

Read More

ARSENAL IMEKWEA MPAKA NAFASI YA PILI

Arsenal imekwea mpaka nafasi ya pili kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Ipswich Town katika dimba la Emirates huku iikiporomosha Chelsea mpaka nafasi ya tatu. Washika Mitutu wamefikisha pointi 36 baada ya mechi 18, alama 6 nyuma ya vinara, Liverpool ambao wamecheza mechi moja pungufu. FT: Arsenal 1-0 Ipswich ⚽ 23’ Havertz

Read More

CLATOUS CHAMA MAMBO BADO YANGA

WAKATI mwamba Maxi Nzengeli akiwa chini ya uangalizi maalumu ndani ya Yanga bado kiungo Clatous Chama atakosekana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Fountain Gate. Chama hakuwa kwenye mechi iliyopita dhidi ya Dodoma Jiji wakati ubao wa Jamhuri, Dodoma ukisoma Dodoma Jiji 0-4 Yanga mabao mawili ya Clement Mzize, Prince Dube alitupia bao…

Read More

FEI TOTO GARI LIMEWAKA HUKO

KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC ni namba moja kwa wakali wa kutengeneza pasi za mwisho. Nyota huyo katoa pasi 9 msimu wa 2024/25 ambapo mbili alitoa kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania Desemba 27 2024 ubao wa Uwanja wa Azam Complex uliposoma Azam FC 3-1…

Read More