YANGA YATEMBEZA 4G MBELE YA DODOMA JIJI
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wamegawa dozi ya 4G kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC Bank. Ni Merry Christmas 2024 ambapo Dodoma Jiji ni mashuti matatu pekee yaliyopigwa na kulenga lango huku Yanga mashuti matano na manne yalijaa nyavuni. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Jamhuri,…