Tabora United haijapoteza mchezo wowote kwenye mechi sita zilizopita kwenye Ligi Kuu bara wakishinda 5 na kutoka sare mchezo mmoja licha ya kukutana na wababe kama Yanga Sc, Azam Fc na Singida Black Stars mpaka sasa.
Kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Azam Fc, Tabora United imefikisha pointi 24 baada ya mechi 14 na wanasalia nafasi ya 5 huku Wanalambalamba ambao wanaendelea kusalia kileleni wakisalia na pointi 30 baada ya mechi 14.
FT: Tabora United 2-1 Azam Fc
37’ Makambo
68’ Makambo
70’ Diaby
Tabora kwenye michezo 6 iliyopita
:
Tabora Utd 1-0 Pamba Jiji
Tabora Utd 1-0 Mashujaa
Yanga Sc 1-3 Tabora Utd
Tabora Utd 2-2 Singida Black Stars
Kmc Fc 0-2 Tabora Utd
Tabora Utd 2-1 Azam Fc