WAWAKILISHI wa Tanzania, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Sead Ramovic leo wana kazi kusaka pointi tatu ugenini dhidi ya TP Mazembe mchezo wa hatua ya makundi.Hili hapa jeshi la Yanga ambalo litaanza ugenini kwenye mchezo wa tatu kimataifa: Diarra, Dickson Job, Bacca, Maxi Nzengeli, Khalid Aucho, Kouassi Yao, Kennedy Musonda, Pacome Zouzoua, Mudathir Yahya, Nickson Kibabage, Duke Abuya.
Katika wachezaji wa akiba ni Khomeiny, Nondo, Aziz Ki, Kibwana Shomary, Clatous Chama, Sure Boy, Jonas Mkude, Mzize, Dube.