HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA TP MAZEMBE

WAWAKILISHI wa Tanzania, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Sead Ramovic leo wana kazi kusaka pointi tatu ugenini dhidi ya TP Mazembe mchezo wa hatua ya makundi.Hili hapa jeshi la Yanga ambalo litaanza ugenini kwenye mchezo wa tatu kimataifa: Diarra, Dickson Job, Bacca, Maxi Nzengeli, Khalid Aucho, Kouassi Yao, Kennedy Musonda, Pacome Zouzoua, Mudathir Yahya, Nickson…

Read More

JUMAMOSI YA MSHINDO IMEFIKA, KUWA MILIONEA NA MECHI LEO

Je unajua kuwa unaweza kuwa milionea leo hii ukibashiri na mabingwa wa ubashiri Tanzania Meridianbet?. Basi kama bado hujui habari ndio hiyo hapa ndio sehemu pekee ya wewe kutimiza ndoto zako. Ligi ya magoli mengi, BUNDESLIGA kule Ujerumani itarindima leo ambapo FC Augsburg atamleta kwake Bayer Leverkusen ya Alonso ambao ndio ambao ndio mabingwa watetezi…

Read More

TABORA UNITED ‘YAWAKANDA’ AZAM NYUMBANI BAO 2-1

Tabora United haijapoteza mchezo wowote kwenye mechi sita zilizopita kwenye Ligi Kuu bara wakishinda 5 na kutoka sare mchezo mmoja licha ya kukutana na wababe kama Yanga Sc, Azam Fc na Singida Black Stars mpaka sasa. Kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Azam Fc, Tabora United imefikisha pointi 24 baada ya mechi 14 na wanasalia…

Read More