Wananchi, Young Africans Sc wamepoteza mchezo wa pili mfululizo kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia kipigo cha 2-0 dhidi ya MC Alger katika dimba la Julai 5, 1962.
FT: MC Alger 🇩🇿 2-0 🇹🇿 Yanga Sc
⚽ 64’ Abdellaoui
⚽ 90+5’ Bayazid
FT: FAR Rabat 🇲🇦 1-1 🇿🇦 Mamelodi Sundowns
⚽ 74’ Hrimat
⚽ 66’ Rayners
MSIMAMO Kundi A
🇩🇿 MC Alger — mechi 2 — pointi 4
🇸🇩 Al Hilal — mechi 1 — pointi 3
🇨🇩 TP Mazembe — mechi 1 — pointi 1
🇹🇿 Yanga Sc — mechi 2 — pointi 0