YANGA YAANZA SAFARI KURUDI BONGO, WATUMA SALAMU KWA WAZIRI

WAWAKILISHI wa kimataifa Yanga katika Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kukamilisha kazi ugenini kwa kupoteza kwenye mchezo uliochezwa Desemba 7 2024 Uwanja wa 5 July uliposoma MC Alger 2-0 Yanga wameanza safari ya kurejea Dar kwa ajili ya maandalizi ya mechi zinazofuata. Kwenye mchezo huo mabao yote yalifungwa kipindi cha piliΒ  na Ayoub Abdellaoui…

Read More

SIMBA KAZINI KIMATAIFA LEO

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika wakiwa hatua ya makundi wanatarajiwa kuwa kazini leo saa 1:00 usiku (kwa saa za Afrika Mashariki) katika mchezo wa mzunguko wa pili Kundi A Kombe la Shirikisho dhidi ya CS Constantine mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Chahid Hamlaoui nchini Algeria. Timu zote mbili…

Read More

YANGA YAPOTEZA MCHEZO WA PILI MFULULIZO KWENYE HATUA YA MAKUNDI YA LIGI YA MABINGWA

Wananchi, Young Africans Sc wamepoteza mchezo wa pili mfululizo kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia kipigo cha 2-0 dhidi ya MC Alger katika dimba la Julai 5, 1962. FT: MC Alger πŸ‡©πŸ‡Ώ 2-0 πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Yanga Sc ⚽ 64’ Abdellaoui ⚽ 90+5’ Bayazid FT: FAR Rabat πŸ‡²πŸ‡¦ 1-1 πŸ‡ΏπŸ‡¦ Mamelodi Sundowns ⚽…

Read More

Leo Hii Kuna Mvua ya Magoli Meridianbet

Endapo ukibashiri na Meridianbet siku ya leo nafasi ya wewe kuondoka na ubingwa unayo kabisa. Sasa unawezaje kukosa pesa zako leo?. Ingia www.meridianbet.co.tz na ubeti. SERIE A leo itaendelea Hellas Verona atapepetana dhidi ya Empoli ambapo tofauti ya pointi kati yao ni 4 pekee huku mwenyeji mechi yake iliyopita akipigika vivyo hivyo kwa mgeni wake….

Read More