KIMATAIFA: MC ALGER V YANGA KINAWAKA

FT: Ligi ya Mabingwa Afrika

Uwanja wa 5 July 1962

MC Alger 2-0 Yanga

Dakika ya 90 goal la pili mtupiaji Sufian

Clatous Chama na Djigui Diarra kadi ya njano dakika ya 90

Dakika ya 89 Maxi Nzengeli anafanya jaribio akiwa nje ya 18 linaokolewa na kipa

Dakika ya 84 Mudathir Yahya ametoka ameingia Prince Dube

Dakika ya 75 Kipre Junior nyota wa zamani wa Azam FC ameingia akiwa ni mali ya MC Alger

Dakika ya 63 goal kwa MC Alger mtupiaji ni Ayoub Abdelaoh

Dakika ya 63 Tahim Meyzan anafanya jaribio linakwenda nje kidogo ya lango

Djigui Diarra anaokoa hatari dakika ya 55 na kuliweka lango salama

Dakika ya 50 Kennedy Musonda amechezewa faulo

Kipindi cha pili

Clatous Chama ameingia na Aziz Ki ametoka dakika ya 45

Dakika ya 45 Yanga wanapigiana pasi ila Pacome anapoteza pasi

Dakika ya 32 Ayoub wa MC Alger amemchezea faulo Kennedy Musonda inapigwa na Aziz

Dakika ya 32 Maxi Nzengeli amefanyiwa faulo

Dakika ya 30 Mudathir alifanya jaribio

Dakika ya 23 Pacome alionyeshwa kadi ya njano

Dakika ya 10 Duke Abuya amecheza faulo ndani ya 18 mbele ya MC Alger

Save aliyoifanya Nickson Kibabage dakika ya pili ni yenye faida kubwa kwa Yanga kwa kuwa aliliweka lango salama

Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo, kukipata TUNAOMBA ODA 0756 028 371. Ni simulizi inayozungumzia maisha ya Kiafrika, usaliti, visa, furaha. Wakazi wa Njombe kitabu kinapatikana Mtaa wa Mpechi kwa Chris Jabari, Kigamboni kwa Tupokigwe, Posta karibu na Mnara wa Askari ukiwa unaelekea chuo cha IFM.