ARSENAL VS MAN UNITED KIPUTE CHA KUKUPA HELA LEO

Kunako ligi kuu ya Uingereza leo kitapigwa kipute kikali ambacho kinaweza kua fursa ya wewe kunyakua mkwanja pale Meridianbet kati ya klabu ya Arsenal dhidi ya Manchester United.   Arsenal leo watakua nyumbani kuikaribisha Man United kwenye dimba lao la Emirates ambapo washika mitutu wa London wakipewa nafasi nzuri zaidi ya kushinda mchezo huo, Huku…

Read More

YANGA HAO KAMILI KUWAKABILI WAARABU KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika leo wanatarajiwa kuwasili Algeria kwa maandalizi ya mwisho wa mchezo wao dhid ya MC Alger unaotarajiwa kuchezwa Desemba 7 2024. Msafara wa Yanga ulikwea pipa Bongo mapema Desemba 3 na walifika Dubai ambapo walipumzika. Miongoni mwa wachezaji waliopo katika msafara wa Yanga ni Khalid Aucho, Clement Mzize,…

Read More

WAKALI WA KUCHEKA NA NYAVU BONGO HAWA HAPA

KATIKA chati ya wakali wa kucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Bara namba moja katika NBC Premier League ni Seleman Mwalimu kutoka Fountain Gate iliyofungua pazia la ligi kwa kucheza dhidi ya Simba mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex. Mwalimu ambaye ni mzawa katupia mabao 6 kibindoni anafuatiwa na Jean Ahoua wa Simba mwenye…

Read More