>

JKT TANZANIA YATOSHANA NGUVU NA AZAM FC

WAJEDA JKT Tanzania wametoshana nguvu na matajiri wa Dar, Azam FC kwenye mchezo wa ufunguzi kwa timu zote mbili msimu wa 2024/25. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Meja Isahmuyo umesoma JKT Tanzania 0-0 Azam FC hivyo wababe hawa wawili wamegawana pointi mojamoja. Kwenye mchezo wa leo timu zote mbili kipindi cha pili…

Read More

AMANI COMPLEX UMERUHUSIWA NA CAF KUTUMIKA

Shirikisho la soka Zanzibar (ZFF) limekanusha taarifa zinazosambaa kuwa uwanja wa New Amaan Complex umefungiwa na na Shirikisho la soka Afrika (CAF) kuchezewa mchezo wa hatua ya kwanza (2nd Preliminary Round) ya CAFCC/CL inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni. Akizungumzia taarifa hizo Afisa Habari wa ZFF, Mohamed Kabwanga amesema Uwanja huo umeruhusiwa na CAF kutumika kwenye hatua…

Read More

SIMBA YAIVUTIA KASI AL HILAL KIMATAIFA

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa maandalizi ya mchezo wao wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Al Hilal yamekamilika kwa asilimia kubwa na kilichopo kwa sasa ni maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo huo unaosubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amebainisha kuwa wachezaji ambao walikuwa wamepewa mapumziko…

Read More

MIKWANJA SIO WIKIENDI TU LEO MZIGO UPO WA KUTOSHA

Nani alikuambia mkwanja unapatikana wikiendi mpaka wikiendi tu huyo alikudanganya kupitia Meridianbet unaweza kutengeneza mkwanja kila siku, Jumatano ya leo ni moja ya siku hizo kwani itakwenda kupigwa michezo mikali ya kukupa maokoto. Michezo mikali itakwenda kupigwa katika ligi mbalimbali ambapo La liga, michezo ya kufuzu ligi ya mabingwa ulaya msimu huu itapigwa, Lakini pia…

Read More

MWAMBA ADEBAYO APEWA TUZO YA MVP

MSHAMBULIAJi mpya wa Singida Black Stars Victorien Adebayo amepewa tuzo ya ufungaji bora na mchezaji bora, (MVP) kutokana na uwezo alionao ndani ya uwanja kwenye kucheka na nyavu.  Mshambuliaji raia wa Nigeria alikuwa anatajwa kuwa kwenye rada za Simba kwa muda mrefu mpango huo umekwama na mwisho yupo Bongo akiwa Klabu ya Singida Black Stars…

Read More

MCHEZO HUU UTAKUPA USHINDI KIRAHISI MERIDIANBET

Kipindi hiki cha kukaribia Msimu wa Sikukuu unaweza kujikusanyia mavuno mengi kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, hili ni shamba kubwa la michezo ya kasino ya mtandaoni inayotoa maokoto ya kutosha kila unapocheza. Moja ya michezo ya kasino ya mtandaoni inayolipa Zaidi ni Wildfire Wins ni mchezo wa kasino wenye safuwima tano zilizopangwa kwenye safu…

Read More