Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amekabidhi Kombe kwa Mabingwa wa Kizimkazi Samia Youth Cup 2024 kwa timu ya Shule ya Sekondari Kusini mara baada ya kuifunga Shule ya Sekondari Muyuni jumla ya magoli 3-0 katika mchezo wa fainali uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Zanzibar Agosti 24, 2024 ikiwa ni shamrashamra za Tamasha la Kizimkazi.
Official Website