>

KIMATAIFA NA KITAIFA NI KIVUMBI, RATIBA HII HAPA

KIVUMBI kinatarajiwa kuendelea leo Agosti 24 kwenye anga la kimataifa ambapo kuna mechi kwa timu za Afrika Mashariki zitakuwa kazini kusaka ushindi ndani ya dakika 90. Baada ya mchezo uliopita uliochezwa Uwanja wa Azam Complex Yanga kupata ushindi wa mabao 4-0 leo watakabiliana kwa mara nyingine dhidi ya wapinzani wao Vital’O itakuwa Uwanja wa Azam…

Read More

PSG NOMA YAMPIGA 6-0 MONTPELLIER KATIKA DIMBA LA PARC DES PRINCES

PSG imeendeleza mwenendo mzuri wa ushindi kwenye mechi ya pili mfululizo kufuatia ushindi wa 6-0 dhidi ya Montpellier katika dimba la Parc des Princes (Paris) FT : PSG 6-0 Montpellier ⚽ 4’ Barcola (πŸ…°οΈ Neves) ⚽ 24’ Asensio (πŸ…°οΈ Neves) ⚽ 53’ Barcola (πŸ…°οΈ Dembele) ⚽ 58’ Hakimi (πŸ…°οΈ Mendes) ⚽ 60’ Zaire -Emery (πŸ…°οΈ…

Read More