>

MRITHI MIKOBA YA MICHAEL FRED MAMBO SAFI SIMBA

RASMI Simba haitakuwa na nyota wao Michael Fred ambaye alikuwa kwenye kikosi hicho msimu wa 2023/24 kwenye mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Ikumbukwe kwamba Michael ambaye alipewa jina la fungafunga anaingia kwenye orodha ya nyota wapya ambao walipata nafasi ya kufunga kwenye Kariakoo Dabi kwenye mchezo wake wa kwanza ndani ya ardhi ya Tanzania….

Read More

ANZA KIVINGINE IJUMAA YA LEO NA MERIDIANBET, PIGA PESA

Ndugu mteja kama wiki iliyopita ulishindwa kupiga pesa ukiwa na Meridianbet, basi kuanzia leo hii anza kuokoto maokoto ukibashiri na mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania. Ingia www.meridianbet.co.tz. Kimbunga kitawaka pale LALIGA ambapo kutakuwa na michezo miwili  Celta Vigo atamenyana dhidi ya Valencia ambaye alipoteza mechi yake ya kwanza ya ligi. Ikumbukwe kuwa timu hizi mbili…

Read More

KOCHA WA VITAL’O AKATA TAMAA MARUDIANO DHIDI YA YANGA

  Kocha wa klabu ya Vital’O FC, Sahabo Parris amebainisha kuwa ni vigumu kuifunga Yanga SC mabao matano katika mchezo wa marudiano wa klabu bingwa barani Afrika. Amesema kuwa kitu ambacho wanakwenda kufanya ni kuangalia kama hawatafungwa mabao manne tena katika mchezo wa marudiano ambao utapigwa uwanja wa Azam Complex Chamanzi siku ya Jumamosi Agosti…

Read More

EXPANSE KASINO INATAJIRISHA. CHEZA MERIDIANBET

Expanse Kasino ni sehemu nzuri sana ya kutajirisha watu wengi, haswa kwa wale wanaocheza kasino ya mtandaoni wanajiweka kwenye nafasi ya karibu Zaidi na utajiri. Zaidi kabisa ujisajili na Meridianbet kuanza safari yako. Katika Promosheni ya shindano la Epxanse Kasino, unaweza kujishindia hadi Tsh 4,750,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna michezo mingi ya kasino…

Read More