>

SINGIDA BLACK STARS KUKIPIGA NA MTIBWA SUGAR

HUSSEN Massanza, Ofisa Habari wa Singida Black Stars ameweka wazi kuwa watakuwa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Mtibwa Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Mwenge. Timu hiyo imeweka kambi Dar na mchezo ujao wa ligi dhidi ya Kagera Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Kaitaba, Bukoba. Massanza amesema kuwa wanatambua umuhimu uliopo kwenye ligi hivyo…

Read More

SIMBA YAKIRI UGUMU KUTENGENEZA NAFASI ZA KUFUNGA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kuna ugumu kwenye kutengeneza nafasi za wazi katika mechi za ushindani jambo linalowafanya kutumia mbinu nyingine kusaka ushindi. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara ubao wa Uwanja wa KMC, Mwenge ulisoma Simba 3-0 Tabora United mabao yakifungwa na Che Malone dakika ya 14, Valentino Mashaka dakika…

Read More

YANGA KUTUMA UJUMBE CAF KWA MTINDO HUU

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika wanahitaji ushindi mkubwa dhidi ya Vital’O ili kutuma salamu kwa wapinzani wao Afrika. Agosti 24 Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa marudio. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amebainisha kwamba wanatambua umuhimu…

Read More