MCHEZAJI BORA SIMBA ATUMA UJUMBE HUU BONGO

CHE Malone beki wa Simba ambaye alichaguliwa kuwa mchezaji bora kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tabora United ameweka wazi kuwa mashabiki wanawaogezea ngvu kwenye ushindani kutokana na uwepo wao hivyo waendelee kuwa nao kila wakati. Mchezo wa kwanza wa ufunguzi kwa Simba ndani ya msimu wa 2024/25 ni Simba ilivuna pointi tatu…

Read More

YANGA KUWAKABILI VITAL’O UWANJA WA MKAPA KWA TAHADHARI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa utawakabili wapinzani wao Vital’O Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa tahadhari kubwa kwa kuwa bado hawajatimiza malengo licha ya kupata ushindi kwenye mchezo wa kwanza. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Azam Complex Agosti 17 2024 baada ya dakika 90 ubao…

Read More

AZAM FC WAIPIGIA HESABU APR KIMATAIFA

YUSUPH Dabo, Kocha Mkuu wa Azam FC ameweka wazi kuwa wana uwezo wakupata matokeo ugenini dhidi ya APR katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kutokana na uimara wa kikosi Chao. Katika mchezo wa awali uliochezwa Uwanja wa Azam Complex baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 1-0 APR. Ni dakika ya 55 nyota…

Read More