AZAM FC KAMILI KUPEPERUSHA BENDERA KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Azam FC wamebainisha kwamba wapo tayari kwa mchezo wao kesho hatua ya awali dhidi ya APR. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex ambapo Azam FC itawakaribisha APR kutoka Rwanda kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Kocha Mkuu wa Azam FC, Bruno Ferry amesema…

Read More

YANGA KAMILI KUWAKABILI VITAL’O

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa upo tayari kwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Vital’ O ya Burundi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex. Huu ni mchezo wa awali ambapo Yanga atakuwa ugenini baada ya Vital’O kuomba kutumia Uwanja wa Azam Complex kuwa ni uwanja wake wa nyumbani. Ali Kamwe, Ofisa Habari…

Read More

Cheza Expanse Kasino na Upige Mamilioni

Safiria ndoto ya maisha yako kwa kucheza kasino ya mtandaoni, pale Meridianbet kuna promosheni ya Expanse ambayo inatoa mamilioni kwa washindi. Jisajili sasa upate bonasi ya ukaribisho ya Tsh 3,000,000/=   Kupitia shindano la Mamilioni la Expanse, unaweza kujishindia hadi Tsh 4,750,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna michezo mingi ya kasino na Sloti ambayo…

Read More