YANGA KULIPA KISASI KWA MKAPA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kuelekea kwenye kilele cha Wiki ya Wananchi Agosti 4 2024 watalipa kisasi cha mtani wao wa jadi Simba kwa kuonyesha ukubwa walionao kwa kuujaza Uwanja wa Mkapa. Ipo wazi kwamba Agosti 3 2024 ilikuwa ni Simba Day ambapo mashabiki wa Simba walijitokeza wengi na mapema kabla ya tukio ilitagazwa…

Read More

SAKATA LA MANULA SIMBA KUCHUKULIWA HATUA

BAADA ya Simba kutotoa ufafanuzi kuhusu uwepo wa Aishi Manula kwenye kikosi msimu wa 2024/25 Jemedari Said ameweka wazi kuwa wanasikitishwa na kitendo cha Simba hivyo watachukua hatua kuona mchezaji huyo anapata haki. Kwenye ukurasa wa Instagram ameandika namna hii: “Tunazungumza na wanasheria wetu kuona namna watakavyoshughulia suala la klabu ya Simba na mchezaji wetu…

Read More