HISPANIA YASHINDA TAJI LA NNE LA UBINGWA KATIKA FAINALI YA EURO 2024
Hispania Jumapili ilishinda taji la nne la ubingwa katika fainali ya michuano ya soka ya Ulaya baada ya bao la mchezaji Mikel Oyarzabal katika dakika ya 87 kunyakua ushindi wa mabao 2 kwa moja dhidi ya Uingereza. Oyarzabal aliingia na kupiga krosi ya Marc Cucurella, wakati mchezo huo uliochezwa kwenye uwanja wa Olympia wa mjini…