>

SIMBA YATAMBULISHA BEKI WA KAZI

Klabu ya Simba imemtambulisha beki wa kati, Abdulrazack Mohamed Hamza (23) raia wa Tanzania, akitokea klabu ya Supersport United ya Afrika Kusini kwa kandarasi ya miaka miwili itakayomfanya nyota kuhudumu ndani ya Viunga vya Msimbazi hadi June 2026. Abdulrazack Hamza ambaye aliwahi kutamba na Mbeya City, KMC na Namungo FC anajiunga na Simba kama mchezaji…

Read More

MRITHI WA CHAMA SIMBA HUYU HAPA

Klabu ya Simba Sc imethibitisha kukamilisha usajili kiungo mshambuliaji Ahoua Jean Charles raia wa Ivory Coastkwa mkataba wa miaka miwili. Ahoua mwenye umri wa miaka 22 ametokea Stella Club d’Adjamé ya nchini kwao Ivory Coast huku akiwa ndiye MVP wa 2023/2024.

Read More

MASHABIKI WA YANGA WAMLETEA KEKI 17 CHAMA

Keki za Clatous Chota Chama zilizoletwa na Wananchi makao makuu ya Klabu yetu JANGWANI. “Wengi wanauliza mpaka sasa tumenufaika vipi na utambulisho wa Chama. Mpaka sasa tumepokea taarifa za mashabiki wa upande wa pili ambao wamehamia Yanga akiwemo Baba Kamwe nae amemfuata Chama. Wote waliohama tunawaandalia siku maalumu ya kuwapokea” “Suala la Usajili wa Chama…

Read More

TSH MIL 284,046,550 ZINAKUSUBIRI LEO, CHEZA KASINO

“Meridianbet imetambulisha Promosheni mpya ya kasino mtandaoni, inayotoa Mamilioni kwa washindi, Jisajili Meridianbet kuwa mshindi” Mashindano ya Cash Days yanapatina Meridianbet kwenye Kasino ya mtandaoni ambapo, ukicheza michezo inayoshindaniwa unajiweka kwenye nafasi nzuri ya kushinda mgao wa Bilioni 3 na Milioni Mia Sita 3,692,605,150/= TZS Promisheni hii ya kasino imegawanyika katika sehemu tofauti, na mwezi…

Read More