NAHODHA HUYU ANA ZALI NA MAKOMBE, MEDALI

MSIMU wa 2023/24 nahodha Bakari Mwamnyeto alikuwa kiongozi wakitwaa taji la NBC, CRDB na katika Ligi ya Mabingwa Afrika wamegotea hatua ya robo fainali. Mbali na makombe anaingia kwenye orodha ya nahodha aliyevaa medali ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya Yanga kuwa washindi wa pili. Nyota huyo ameweka wazi kuwa wanatambua mashabiki…

Read More

MGAO WA MILIONI 2,500,000/= ZA EXPANSE KASINO

Sehemu pekee unayoweza kupata bonasi ya ukaribisho hadi 300% ni Meridianbet pekee, jisajili upate bonasi hiyo kucheza michezo ya Expanse na kubashiri michezo mingi. Pia kuna shindano la Expanse ambalo unaweza kujishindia Mgao wa Milioni 2,500,000/= endapo utaibuka mshindi. Cheza michezo ya Kasino ya Mtandaoni kutoka Expanse Studio. Mwisho wa promosheni ya Shindano la Expanse…

Read More

FOUNTAIN GATE KAMA MBWAI IWE MBWAI

HAWANA jambo dogo Fountain Gate kutokana na kuweka wazi kwamba wana jambo lao kubwa ndani ya Agosti 2024 ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2024/25 unaotarajia kuanza Agosti 16 2024. Ikumbukwe kwamba kwa msimu wa 2023/24 taji la ligi lipo mikononi mwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi pia taji la CRDB Federation…

Read More

YANGA YAFICHUA KILICHO NYUMA YA USHINDI

USHINDI wa mabao 4-0 waliopata Yanga dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini unawapa taji la kwanza la Toyota Cup 2024 huku wakiweka wazi kuwa siri ya ushindi huo ni kuona kila kitu ni muhimu kwao kushinda ndani ya uwanja. Ikumbukwe kwamba Kaizer Chiefs inanolewa na Nasreddine Nabi ambaye aliwahi kuifundisha Yanga kabla ya mikoba…

Read More