MARIOO – HAKUNA MATATA (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Marioo ameachia video ya wimbo wake wa ‘Hakuna Matata’
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Marioo ameachia video ya wimbo wake wa ‘Hakuna Matata’
Kwa taarifa za awali ni kwamba mechi za kimataifa za hatua ya awali kati ya Vital’O ya Burundi na Yanga SC ya Tanzania, zinaweza kuchezwa hapahapa Tanzania kutokana na changamoto zisizo za kimichezo, Hivyo Vital’O wanatazamia kucheza michezo yao ya awali kwenye viwanja walivyoviomba nje ya Burundi ambapo uwanja wa KMC na Azam Complex ni…
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa hawafikirii ushindi kwenye mechi za kirafiki hivyo kupata ushindi ni matokeo ambayo yanawaongezea nguvu kuendelea kupambana zaidi. Ipo wazi kuwa Yanga imeweka kambi Afrika Kusini kwa maandalizi ya msimu mpya wa 2024/25 unaotarajiwa kuanza Agosti 8 2024. Julai 24 2024 Yanga iliibuka na ushindi wa bao 1-0…
MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamemuongezea mkataba wa mwaka mmoja kiungo wa kazi Tepsi Evance ambaye ni moja ya wazawa wenye vipaji vikubwa kwenye kucheza na mpira. Tepsi ambaye alikuwa kwa mkopo ndani ya KMC msimu wa 2023/24 bado atabaki kuwa mali ya Azam FC mpaka 2026 baada ya kuogeza kandarasi ya mwaka mmoja. Kiungo…
Wild 27 ni Mchezo wa sloti kutoka kasino ya mtandaoni iliyoandaliwa na mtayarishaji wa michezo ya kasino Fazi . Katika mchezo huu wa sloti, kwa msaada wa matunda matamu, unaweza kupata bonasi mara mbili. Jisajili Meridianbet uwe Milionea. Sifa za Sloti ya Wild 27 Wild 27 ni mchezo mpya wa sloti ya kasino ya mtandaoni…