SIMBA WAZINDUA JEZI MPYA ZA MSIMU 2024/25
Uongozi wa Simba umezindua Jezi mpya zitakazotumika Msimu wa 2024/2025 Unauonaje uzi huu na unaupa asilimia ngapi?
Uongozi wa Simba umezindua Jezi mpya zitakazotumika Msimu wa 2024/2025 Unauonaje uzi huu na unaupa asilimia ngapi?
MENEJA wa Yanga SC, Walter Harson ameweka wazi kuwa maandalizi yanaendelea vizuri nchini Afrika Kusini kwa ajili ya msimu wa 2024/25 kwa kuwa wachezaji wapo vema. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ipo kambini Afrika Kusini kwa maandalizi ya mechi za kitaifa na kimatafa ambapo Yanga inashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika. Leo Julai 24…
Unataka kuitwa Bosi wa Mtaa? Cheza Kasino leo ushindi ni rahisi, kupitia michezo ya kasino iliyopo Meridianbet unaweza kujikuta unaibuka na ushindi wa Mamilioni. Jisajili sasa Kuwa moja ya Matajiri wapya. Moja ya michezo ya kasino ya mtandaoni inayolipa Zaidi ni Wildfire Wins ni mchezo wa kasino wenye safu wima tano zilizopangwa kwenye safu ulalo…
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba aliweka wazi sababu za Kibu Dennis kuchelewa kujiunga na timu kambini nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2024/25 unaotarajiwa kuanza Agosti 16.
NYOTA wa Azam FC, Idd Suleiman, (Nado) ameweka wazi kuwa malengo makubwa ni kuona kwamba wanatwaa taji la Ligi Kuu Bara msimu mpya wa 2024/25 kutokana na maandalizi mazuri ambayo wanayafanya kwa sasa. Azam FC chini ya Kocha Mkuu Yusuph Dabo imeweka kambi Morocco ikiwa ni mwendelezo wa kuelekea msimu mpya ambao unatarajiwa kuwa na…