>

SIMBA DAY UBAYA UBWELA, VIINGILIO HIVI HAPA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa uzinduzi wa Simba Day 2024 utafanyika Morogoro na safari inatarajiwa kuwa Julai 24 2024 kwa mashabiki na viongozi kuelekea mji kasoro bahari. Ahmed Ally Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa lengo kubwa ni kuendeleza utofauti ambapo watafanyia uzindi kwenye hifadhi ya Mikumi kuhamashisha utalii…

Read More

YANGA KWENYE KAZI KWA MARA NYINGINE TENA

BAADA ya kete ya kwanza kupoteza katika Mpumalanga Premier International Cup, Yanga inatarajiwa kuwa na kazi nyingine kusaka ushindi kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki. Jumatano ya Julai 24 Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhid ya TS GALAXY kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki. Mechi hii itapigwa kuanzia saa 10:00 jioni inatarajiwa kurushwa…

Read More

SIMBA YAANZA KWA USHINDI HUKO

IKIWA ni mchezo wa kwanza wa kirafiki kwa Simba imepata ushindi mbele ya El Qanah Egypt kwa mabao 3-0 chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Kwenye mchezo huo ni Ahoua alitupia kambani mabao mawili dakika ya 14, 16 na Okejepha alitupia bao moja ikiwa ni mchezo wa kujipima nguvu. Bado kazi ipo kwa Simba kuelekea…

Read More

MENEJA WA KIBU DENNIS AFICHUA MAZITO

Meneja wa mshambuliaji wa Simba Sc, Kibu Dennis, Carlos amefichua kuwa mchezaji huyo yupo Ulaya licha ya kuwa amelipwa stahiki zake zote na haidai Simba Sc chochote huku akibainisha kuwa yeye binafsi (Meneja ) anaidai Simba ‘agency fee’ ya usajili wa Zimbwe Jr na Hussein Kazi ila kwa suala la kibu mwenye mamlaka ya kuliongelea…

Read More

TSH 2,500,000/= ZINAKUSUBIRI MERIDIANBET

Mamilioni Yabakusubiri! Meridianbet Kasino kwa Kucheza michezo iliyotengenezwa na Expanse, Shindano hilo linakupatia mgao mpaka 2,500,000/= Tsh. Jisajili na Meridianbet kwa ushidi mkubwa sana. Mwisho wa promosheni ya Shindano la Expanse Kasino washindi 40, watagawiwa bonasi za kasino na pesa taslimu kwenye kaunti zao za Meridianbet. ZAWADI ZIKOJE? Expanse Tournament inatoa mgao wa mamilioni kwa…

Read More