>

MAZOEZI YA YANGA AFRIKA KUSINI NI BALAA, KUKINUKISHA KESHO

Julai 28, 2024 Mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Yanga wanaopeperusha bendera ya Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, wanatarajia kumenyana na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kwenye mchezo maalumu wa kirafiki wa kimataifa ambapo mshindi atasepa na Kombe la Toyota. Mechi hiyo inatajwa kuwa kipimo sahihi kwa Yanga kwa kuangalia uimara wa kikosi hicho ambacho…

Read More

MAKAMBO KUTUA DODOMA JIJI

Dodoma Jiji imeingilia dili la mshambuliaji wa zamani Yanga, Heritier Makambo kutoka Al Murooj SC ya Libya. Awali Mkongomani huyo aliyewahi kuzichezea DC Motema Pembe, FC Lupopo zote za DR Congo na Horoya AC ya Guinea, ilielezwa angejiunga na Tabora United japo kwa sasa mambo yamebadilika baada ya Dodoma kumtaka.

Read More