LIGI KUU MSIMU WA 2024/2025 ITAANZA AGOSTI 16, 2024
BODI ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB) wameweka wazi kuwa msimu wa 2024/2025 utaanza Agosti 16, 2024 kwa kila timu kupambania malengo yao ndani ya uwanja. Ikumbukwe kwa msimu wa 2023/24 mabingwa wa ligi ni Yanga walitwaa taji hilo wakiwa na mechi tatu mkononi kabla ya kukamilisha hesabu kucheza mechi 30 ndani ya ligi. Walimaliza wakiwa…