>

UNAWEZA UKAOKOTA MAOKOTO NA MECHI ZA KIRAFIKI LEO

Jumanne ya leo hii timu mbalimbali zinaendelea kujifua vyema na kujiweka sawa kwaajili ya msimu mpya wa 2024/25 ambao unatarajiwa mwezi ujao katikati. Hivyo na wewe unaweza ukaanza kutafuta pesa kwaajili ya kukusaidia kila siku. Kule Afrika Kusini Mamelod Sundowns atakuwa ugenini kupepetana dhidi ya SV Sandhausen ya kule Ujerumani. Ikumbukwe kuwa Masandawana wameachana na…

Read More

KOCHA WA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND ATANGAZA KUJIUZULU

Mkufunzi Gareth Southgate ametangaza kujiuzulu nafasi yake kama kocha wa timu ya taifa ya England ikiwa ni siku mbili baada ya kushindwa kuiongoza England kutwaa ubingwa wa EURO 2024 dhidi ya Uhispania kwenye fainali. Southgate (53) raia wa England ameiongoza England kwenye mechi 102 kwa miaka 8 ya uhudumu wake kwenye nafasi hiyo lakini hakufanikiwa…

Read More

SIMBA YATANGAZA KUVUNJA MKATABA WA JOBE

KLABU ya Simba imethibitisha kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na mshambuliaji Pa Omar Jobe baada ya kuhudumu klabuni hapo wa kipindi kifupi cha miezi sita tu. Jobe aliibuka ndani ya Simba kwenye dirisha dogo kwa lengo la kuongeza nguvu katika kikosi hicho ambapo ni Moses Phiri aliondoka ili asajiliwe. Wakati Phiri anaondoka Simba alikuwa amefunga…

Read More

SIMBA KAZI INAENDELEA, MAELEKEZO KUFUATWA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Simba kazi inaendelea kwa kuendelea na mazoezi kambini kuelekea msimu wa 2024/25. Msimu wa 2023/24 Simba iligotea nafasi ya tatu ikiwa na pointi 69 baada ya kucheza mechi 30 ina kibarua cha kupeperusha bendera ya Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika. Beki wa kati Che Malone amesema kuwa…

Read More

CLATOUS CHAMA AFUNGUA SHAURI TFF

INAELEZWA kuwa kiungo mpya wa Yanga, Clatous Chama amefungua shauri kwenye mamlaka ya soka nchini akidai kuwa waajiri wake wa zamani hawajampa release letter ambayo itampa uhalali wa kuichezea Klabu ya Yanga.  Klabu ya Simba inaelezwa kuwa imekataa kumpa release letter ikidai aliondoka kinyume cha utaratibu kwenda Yanga. Shauri hilo litasikilizwa leo 16 Julai 2024…

Read More