ONA PICHA ZA MAJEMBE MAPYA YA YANGA WAKIELEKEA MAZOEZINI
YANGA chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi tayari ipo kambini kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2024/25 unaotarajiwa kuanza Agosti 2024. Ipo wazi kwamba Yanga ni mabingwa watetezi baada ya kufanikisha malengo hayo msimu wa 2023/24 walipomaliza wakiwa na pointi 80 baada ya kucheza mechi 30. Kwenye usajili wa dirisha kubwa imeongeza mastaa…