SIMBA INASUKWA UPYA HUKO

MWAMBA Fadlu Davids Kocha Mkuu wa Simba ana kibarua cha kusuka upya kikosi hicho kuelekea msimu wa 2024/25 ambao unatarajiwa kuwa na ushindani kitaifa na kimataifa. Simba kwenye Kombe la Shirikisho Afrika itasubiri mshindi wa mchezo kati ya Uhamisho dhidi ya Libya kwa kuwa haitaanzia hatua ya awali. Mbali na Simba kupeperusha bendera ya Tanzania…

Read More

MWAMBA ABUYA KWENYE ANGA ZA KIMATAIFA YANGA

MWAMBA wa kazi Duke Abuya raia wa Kenya ambaye ni kiungo aliyekuwa ndani ya Singida Black Stars atakuwa kwenye anga la kimataifa na uzi wa kijani na njano katika kikosi cha Yanga. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi inafanya maboresho makubwa kuelekea msimu mpya ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kitaifa na kimataifa. Abuya…

Read More

GUEDE KUTOKA YANGA ATAONGEZA KITU SINGIDA BLAC STARS

MABOSI wa Singida Black Stars hawataki utani ambapo kwenye safu ya ushambuliaji wamemuongeza mtambo wa mabao  Joseph Guede ambaye msimu uliopita wa 2023/24 alikuwa ndani ya Yanga. Utambulisho wake ndani ya Singida Black Stars utaongeza kitu kwenye eneo la ushambuliaji ukizingatia kwamba msimu mpya wa 2024/25 unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ikumbukwe kwamba Guede raia…

Read More