![SIMBA INASUKWA UPYA HUKO](https://salehjembe.co.tz/wp-content/uploads/2024/07/Manula-na-Kapombe-600x400.jpg)
SIMBA INASUKWA UPYA HUKO
MWAMBA Fadlu Davids Kocha Mkuu wa Simba ana kibarua cha kusuka upya kikosi hicho kuelekea msimu wa 2024/25 ambao unatarajiwa kuwa na ushindani kitaifa na kimataifa. Simba kwenye Kombe la Shirikisho Afrika itasubiri mshindi wa mchezo kati ya Uhamisho dhidi ya Libya kwa kuwa haitaanzia hatua ya awali. Mbali na Simba kupeperusha bendera ya Tanzania…